KESI YA JAYDEE YAPIGWA KALENDA, WACHEKI JIDE NA MUMEWE WAKIWA MAHAKAMANI HAPA

clip_image001Picha juu inamuonyesha mwanamuziki nguli wa muziki wa kizazi kipya Judithi Wambura , 'Jay Dee'  kushoto akiwa na mumewake ambaye pia ndiyo meneja wake Gadna G. Habashi nje ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakisubili kuingia katika chumba cha mahakamani kwa ajili ya kusikiliza kesi ya madai inayomkabili ambayo imefunguliwa na meneja wa mtafiti wa matukio Clouds  Media Group Ruge Mtahabwa pamoja na Joseph Kusaga, ambapo kesi hiyo imehairishwa mpaka tarehe 13 Juni mwaka huu.
Kesi hiyo ipo chini ya Hakimu Athumani Nyamlani

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post