Mlipuko mkubwa umetokea katika kanisa Katoliki la Mt. Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasisi Arusha. Watu kadhaa wamejeruhiwa wakati wa ibada ya uzinduzi wa kanisa hilo iliyokuwa ikiongozwa na Balozi wa Papa nchini.
Endelea kutembelea Fahari ya kusini kwa habari zaidi.
UPDATE:
…..mlipuko ulitokea katikati ya watu…..
…..mlipuko ulitokea katikati ya watu…..
….eneo limetapakaa damu….inasikitisha sana….
….niwakati Baba askofu akibariki maji ya baraka wakati anaweka chumvi
ndani ya hayo maji (tendo la kubariki maji)..ghafra mlipuko ukatokea
karikati ya watu….
….watu wako katika hali ya majonzi na masikitiko makubwa…..
.....HIVI SASA NA INADAIWA KUWA KUNA WATU WASIOPUNGUA WANNE WAMEPOTEZA MAISHA .
....from ITV POST: BreakingNews:Jeshi la palisi linamshikilia mtu mmoja akihusishwa na mlipuko uliotokea katika kanisa la Katoliki Olasisi Arusha leo asubuhi
Mkuu wa Mkoa Mulongo naye amefika eneo la tukio na kuwafariji wahanga wa tukio la bomu....
Majeruhi wa tukio hilo wakiwa katika hali mbaya..
.....HIVI SASA NA INADAIWA KUWA KUNA WATU WASIOPUNGUA WANNE WAMEPOTEZA MAISHA .
....from ITV POST: BreakingNews:Jeshi la palisi linamshikilia mtu mmoja akihusishwa na mlipuko uliotokea katika kanisa la Katoliki Olasisi Arusha leo asubuhi
Mkuu wa Mkoa Mulongo naye amefika eneo la tukio na kuwafariji wahanga wa tukio la bomu....
RPC wa mkoa wa Arusha naye
aliambatana na mkuu wa mkoa na muda huu alikuwa anatoa nasaha
zake kwa wananchi....
RPC ameeleza kuwa tukio hili ni la kigaidi. Katika maelezo yake, RPC amesema kuwa aliyehusika alijitokeza nyuma ya
jengo kwa kujificha na kurusha bomu. ...
Amesema Polisi wanawasaka waliohusika na unyama huu na ameomba yeyote mwenye taarifa yoyote aisaide polisi. ..
Waliojeruhiwa ni 50 .Hao wana majeraha ya kawaida na 3 wako mahututi
Mpaka sasa mtu mmoja anashikiliwa na polisi kwa
mahojiano zaidi
Polisi
wakijaribu kuchunguza eneo bomu lilipolipukia leo asubuhi
Majeruhi wa tukio hilo wakiwa katika hali mbaya..
Tags
HABARI ZA KITAIFA