Mtandao wa Ngoma Africa band umeanza tena kurusha muziki hewani !

ngoma africa band live tubingen festival

Website www.ngoma-africa.com ya Ngoma Africa Band aka FFU imeanza tena kurusha muziki hewani, baada ya marekebisho machache yanayo endelea kufanyika ili kubadili sura yote mtandao huo.

Tuvoti hiyo ya ilisimamishwa kurusha muziki hewani kwa muda wa siku nzima sasa inarusha tena muziki hewani na mnaweza kuendelea kupata burudani kamili tena kwa kusikiliza nyimbo aka (Virungu vya FFU) at http://www.ngoma-africa.com au www.ngoma-africa.com Usikose kuwasiliana nao at contact@ngoma-africa.com.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post