HAYA NDIO MANENO YA MH. TUNDU LISSU KUHUSU MASHTAKA YA LWAKATARE

Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Mh. Tundu Lissu, amesema video iliyowekwa mitandaoni imetengenezwa na Mwigulu akishirikiana na Joseph Ludovick. Lissu amesema endapo kesi hiyo itafika Mahakamani hawatamaliza hata masaa matatu (3) watakuwa wameshinda. (Video na Chadema TV)

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post