ARSENAL SIKU 2,830 BILA TAJI, WALIOONDOKA WAMEBEBA MATAJI 73.

LONDON, England

SIKUKUU ya Pasaka inakuja mapema mwaka huu, hii inamaanisha kwamba msimu wa Arsenal utakuwa umefika tamati mapema zaidi pia msimu huu.

Ni kweli kutoka kwa, Arsenal kwenye Kombe la FA dhidi ya Blackburn inamaanisha kwamba Arsene Wenger sasa akili yake iko sehemu moja tu.

Kushindwa kuitoa Bayern Munich kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya kutamaanisha kwamba huu utakuwa msimu wa nane mfululizo kwa timu hiyo kwenda bila ubingwa.

Trip down memory lane: Patrick Vieira holds aloft Arsenal's last trophy - the FA Cup, won in 2005

Taji la mwisho: Patrick Vieira akiwa ameshika Kombe la FA, waliloshinda mwaka 2005, hilo ndilo taji la mwisho la Arsenal.

ARSENE WENGER

Winners: Arsenal

Nyakati za Furaha: Arsene Wenger akisherekea taji lake la mwisho, katika picha nyingine Jens Lehman akishangilia na wachezaji wenzake.

Wakishinda taji ama la, Wenger anajitayarisha kupewa kiasi cha pauni milioni 70, kwa ajili ya kufufua zama za mafanikio za Arsenal.

Lakini Wenger anajipanga kuvutia vipaji Emirates, lakini wale watahitajika na klabu hiyo wanatakiwa kupima bahati zao na wale wachezaji walioitelekeza Arsenal tangui mwaka 2005, ni makombe mangapi wameongeza kwenye makabati yao.

ASHLEY COLE: Eight trophies Premier League: 2010 Champions League: 2012 FA Cup: 2007, 2009, 2010, 2012 League Cup: 2007

ASHLEY COLE: Ameshinda mataji nane, Ligi Kuu ya England: 2010, Ligi ya Mabingwa Ulaya: 2012, Kombe la FA: 2007, 2009, 2010, 2012, Kombe la Ligi: 2007

THIERRY HENRY: 7 trophies (all Barcelona) La Liga: 2009, 2010 Copa del Rey: 2009 Supercopa de Espana: 2009 Champions League: 2009 UEFA Super Cup: 2009 FIFA Club World Cup: 2009


THIERRY HENRY: Mataji saba (Yote akiwa Barcelona) La Liga: 2009, 2010, Kombe la Mfalme: 2009, Supercopa de Espana: 2009, Ligi ya Mabingwa Ulaya: 2009, UEFA Super Cup: 2009, Kombe la Dunia la Klabu: 2009

Wale wote walioitelekeza Arsenal au wale waliofunguliwa milango wamefanikiwa kushinda mataji 73, kati yao, hii ikiwa tangu siku ambayo Arsenal waliifunga Manchester United kwa penalti na kushinda Kombe la FA.

Watu kama kina Patrick Vieira, Ashley Cole, Thierry Henry na Cesc Fabregas waliitosa Arsenal na kuamua kusonga mbele na kutafuta mafaniko zaidi na tangu walipoondoka Arsenal walifanikiwa kubeba mataji kadhaa.

CESC FABREGAS: four trophies (all club with Barcelona) Copa del Rey: 2012 Supercopa de Espana: 2011 UEFA Super Cup: 2011 FIFA Club World Cup: 2011

CESC FABREGAS: Mataji manne (akiwa Barcelona) Kombe la Mfalme: 2012, Supercopa de Espana: 2011,  UEFA Super Cup: 2011, Klabu Bingwa ya Dunia: 2011

GAEL CLICHY: two trophies (both Manchester City) Premier League: 2012 Community Shield: 2012

GAEL CLICHY: Mataji mawili (yote Manchester City) Ligi Kuu ya Arsenal: 2012, Ngao ya Jamii: 2012

Samir Nasri: 2 trophies Premier League: 2012 (Manchester City) Community Shield: 2012 (Manchester City)

SAMIR NASRI: Mataji mawili (Yote Man City), Ligi Kuu ya England: 2012, Ngao ya Jamii: 2012

Sol Campbell: One trophy FA Cup: 2008 (Portsmouth)

SOL CAMPBELL: Taji Moja Kombe la FA: 2008 (Portsmouth)

ANTHONY STOKES: Three trophies: Scottish Premier League: 2012 (Celtic) Scottish Cup: 2011 (Celtic) Championship: 2007 (Sunderland)

ANTHONY STOKES: Mataji matatu: Ligi Kuu ya Scotland, Ligi Kuu: 2012 (Celtic) Kombe la Scotland: 2011 (Celtic) Championship: 2007 (Sunderland)

SEBASTIAN LARSSON: One trophy: League Cup: 2011 (Birmingham City)

SEBASTIAN LARSSON: Taji moja: Kombe la Ligi: 2011 (Birmingham City)

LASSANA DIARRA: Four trophies: FA Cup: 2008 (Portsmouth) La Liga: 2012 (Real Madrid) Copa del Rey: 2011 (Real Madrid) Supercopa de Espana: 2012 (Real Madrid)

LASSANA DIARRA: Mataji manne: Kombe la FA: 2008 (Portsmouth) La Liga: 2012 (Real Madrid) Kombe la Mfalme: 2011 (Real Madrid) Super Cup ya Hispania: 2012 (Real Madrid)

KOLO TOURE: Three trophies: FA Cup: 2011 (Manchester City) Premier League: 2012 (Manchester City) Community Shield: 2012 (Manchester City)

KOLO TOURE: Mataji matatu (yote na Manchester City): Kombe la FA: Ligi Kuu 2011: 2012 Ngao ya Jamii: 2012

PATRICK VIEIRA: Eight trophies: Serie A: 2006 (Juventus) Serie A: 2007, 2008, 2009, 2010 (Inter Milan) Supercoppa Italiana: 2006, 2008 (Inter Milan) FA Cup: 2011 (Manchester City)

PATRICK VIEIRA: Mataji nane: Serie A: 2006 (Juventus) Serie A: 2007, 2008, 2009, 2010 (Inter Milan) Super Cup ya Italia: 2006, 2008 (Inter Milan) na Kombe la FA: 2011 (Manchester City)

EMMANUEL ADEBAYOR One trophy: Copa del Rey: 2011 (Real Madrid)

EMMANUEL ADEBAYOR Taji moja: Kombe la Mfalme: 2011 (Real Madrid)

JERMAINE PENNANT: One trophy: Community Shield: 2006 (Liverpool)

JERMAINE PENNANT: Taji moja: Ngao ya Jamii: 2006 (Liverpool)

MATHIEU FLAMINI: Two trophies: Serie A: 2011 (AC Milan) Supercoppa Italia: 2011 (AC Milan)

MATHIEU FLAMINI: Mataji mawili: Serie A: 2011 (AC Milan) Super Cup ya Italia: 2011 (AC Milan)

Previous Post Next Post