Hii ni Aibu na laana ambayo wanadamu tunaonekana kujitafutia kwa sasa, kwa kile kilichoonekana ni uvunjifu wa Maadili yetu. Chakushangaza wanaofanya mambohaya ni watu wazima wenye utashi mkubwa wa kufikiria mambo yaliyo mabaya na mazuri isitoshe wengiwao wanafamiliya zao hiyo ikimaanisha wameolewa/wameolewa.
Nini kifanyeke ilikulinda maadiliyetu yasiendelee kuporomoka zaidi?
Tags
HABARI ZA KITAIFA