Serikali Ina Mkono Mrefu...!

Hii ndiyo ofisi ya kitongoji cha Kanyara visiwani nyamango ziwa victoria, kwa juu kama inavyoonekana kwa chini ni Sero (Mahabusu)inayotumika kuwahifadhi wa halifu ambayo mwandishi wa habari Mobini Sarya aliwekwa chini ya ulinzi kwa masaa 6.

Kwa Hisani ya Hisia Za Mwananchi

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post