JK KUTOA SALAMU ZA MWAKA MPYA

Rais Jakaya Kikwete

 

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116898                                       PRESIDENT’S OFFICE,

E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com                                         THE STATE HOUSE,

press@ikulu.go.tz                                                                                               P.O. BOX 9120,

Fax: 255-22-2113425                                                                                  DAR ES SALAAM.

                                                                                                           Tanzania.

 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, jioni ya leo, Jumatatu, Desemba 31, 2012, atatoa salamu maalum za Mwaka Mpya kwa wananchi.

Rais Kikwete atatoa salamu hizo kupitia hotuba yake kwa Taifa ambayo ataitoa kwa njia ya redio na televisheni.

Katika salamu hizo, Rais Kikwete anatarajia kuzungumzia masuala mbali mbali kuhusu matukio makubwa ya mwaka huu na mengine muhimu yaliyojitokeza katika jamii ya Tanzania katika miezi 12 iliyopita.

Mwisho.

 

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,

Ikulu.

Dar es Salaam.

31 Desemba, 2012

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post