“Lengo la Aunt Lulu aliyevaa vazi lililomuacha mgongo wake kujipitishapitisha back stage alipokuwa amekaa Koffi lilikuwa kumnasa msanii huyo lakini hadi anapanda jukwaani hakufanikiwa hata kuongea naye,” alisema sosi aliyemshuhudia.
Alipoulizwa kuhusu ishu hiyo na paparazi wetu, Aunt Lulu alifunguka:
“Wewe chezea mimi, mwenyewe alidata na mapigo yangu, sema ndiyo hivyo alikuwa bize na shoo, najuta kumkosa” alisema Aunt Lulu mwenye shepu ya peke yake.
Alipoulizwa kuhusu ishu hiyo na paparazi wetu, Aunt Lulu alifunguka:
“Wewe chezea mimi, mwenyewe alidata na mapigo yangu, sema ndiyo hivyo alikuwa bize na shoo, najuta kumkosa” alisema Aunt Lulu mwenye shepu ya peke yake.
Tags
HABARI ZA WASANII