RICK ROSS THE BOSS KASHATUA KWENYE ARDHI YA JAKAYA

Muda mchache uliopita mwanamuziki wa kimataifa wa Marekani Rick Ross ambaye kesho ataivuruga Dar es Salaam katika show kali ya tamasha bora kabisa la Fiesta, ameandika kupitia akaunti ya Twitter kwamba ameshatua Bongo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post