Amiri wa Shura ya Maimamu nchini Sheikh Musa Kundecha (kulia) akiwa na Masheikh wa Taasisi ya Umoja wa Wanazuoni wa Kiisilamu Tanzania kwenye Msikiti wa Kichangani jijini Dar es Salaam jana wakati wa kutangaza hatua za kuchukua dhidi ya Filamu iliyotengenezwa na wamarekani ya kumkashifu Mtume Muhamad (SAW) ambapo wameazimia siku ya Ijumaa Kesho Waisilamu wote kukusanyika kwenye viwanja vya Jangwani kulaani Filamu hiyo mara baada ya sala ya Ijumaa.Waumini wa dini ya Kiisilamu waliojitokeza kwa wingi kwenye kutangaza hatua hiyo wakati wa swala ya Alaasiri jioni jana.
Home
»
DAR ES SALAAM
» WAISILAMU KESHO KUKUSANYIKA JANGWANI BAADA YA SALA YA IJUMAA, KULAANI FILAMU YA KUMKASHIFU MTUME
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.
Advertisement
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.