
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Lindi ambae pia ni kadhi wa Mkoa Mohamed Mushangani akiongoza sala ya Magharib Nyumbani kwa Rais Jakaya Kikwete Mjini Lindi katika hafla ya kufuturisha wakazi wa Mji wa Lindi

Mdau Abdulaziz Ahmeid akisalimiana na Rais Kikwete mara baada ya Futuru


Sheikh Mohamed saidi Mushangani akitoa shukran pamoja na dua baada ya futuru

Rais JK akitoa neno kwa waalikwa baada ya futuru hiyo iliyo fanyika nyumbani kwake Mtanda-Lindi