HEMED AKIRI KUJIITA SHOGA

Baada ya HEMED PHD kuandika kwenye BBM kuwa yeye ni SHOGA, wadau wa mziki na movie ktk mitandao ya kijamii wamjia juu licha ya yeye kupigiwa simu na kukiri kuwa ni kweli aliandika lakini lengo lake lilikuwa ni kuona wadada watapokeaje tamko lake hilo lakini yeye sio SHOGA..

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post