News::::WABUNGE WA CHADEMA WAPIGWA MAPANGA MWANZA

Wabunge wa CHADEMA ,Highness Kiwia wa Jimbo la Ilemela na Salvatory Machemli wa jimbo la Ukerewe wamenusurika kifo baada ya kudaiwa kushambuliwa kwa shoka na mapanga 

Mbali na wabunge hao Wafuasi wengine watano wa chama hicho wamejeruhiwa vibaya na wamekimbizwa  hospital ya Bugando huku mbunge Kiwia alilazimika kukimbizwa hospital ya Muhimbili baada ya hali yake kuwa mbaya

Habari hizi zimethibitishwa na kamanda wa polisi wa mkoa huo,Liberatus Barlow(RPC)

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post