abdulaziz abdulaziz Author
Title: News::::WABUNGE WA CHADEMA WAPIGWA MAPANGA MWANZA
Author: abdulaziz
Rating 5 of 5 Des:
Wabunge wa CHADEMA ,Highness Kiwia wa Jimbo la Ilemela na Salvatory Machemli wa jimbo la Ukerewe wamenusurika kifo baada ya kudaiwa kushambu...

Wabunge wa CHADEMA ,Highness Kiwia wa Jimbo la Ilemela na Salvatory Machemli wa jimbo la Ukerewe wamenusurika kifo baada ya kudaiwa kushambuliwa kwa shoka na mapanga 

Mbali na wabunge hao Wafuasi wengine watano wa chama hicho wamejeruhiwa vibaya na wamekimbizwa  hospital ya Bugando huku mbunge Kiwia alilazimika kukimbizwa hospital ya Muhimbili baada ya hali yake kuwa mbaya

Habari hizi zimethibitishwa na kamanda wa polisi wa mkoa huo,Liberatus Barlow(RPC)

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top