abdulaziz abdulaziz Author
Title: CHADEMA KIDEDEA UBUNGE ARUMERU NA UDIWANI MWANZA,SONGEA NA MBEYA
Author: abdulaziz
Rating 5 of 5 Des:
CHADEMA YASHINDA ARUMERU Matokeo ya kura za Ubunge jimbo la Arumeru Mashariki yametangazwa sasa hivi na Msimamizi wa Uchaguzi Bw Gracias Kag...

CHADEMA YASHINDA ARUMERU
Matokeo ya kura za Ubunge jimbo la Arumeru Mashariki yametangazwa sasa hivi na Msimamizi wa Uchaguzi Bw Gracias Kagenzi amemtangaza mgombea wa CHADEMA Bw Nassari kuwa mshindi baada ya kupata kura 32,972 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka CCM Bw Sioi Sumari aliyepata kura 26,757

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top