Mkurugenzi wa zamani wa TBC (Tanzania Broadcasting),Tido Mhando (pichani) amekuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Kampuni ya Uchapishaji wa Magazeti ya kila siku hapa nchini ya Mwananchi Communication Limited,kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Mkurugenzi Mtendaji wa Zamani wa Kampuni hiyo,Sam Shollei.
Tags
media