ZIMBABWE OUT TUSKER CHALLENGE CUP 2011

image Wachezaji wa timu za Uganda na Zimbabwe wakipambana vikali katika lango la timu ya Zimbabwe katika mchezo wa Robo fainali kombe la TUSKER CHALLENGE CUP 2011 uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jioni hii, timu ya Uganda imefanikiwa kushinda mchezo huo goli 1-0 dhidi ya Zimbabwe, Matokeo ambayo yanaitoa nje ya mashindano timu ya Zimbabweimage image   Kikosi cha timu ya Uganda                                Kikosi cha timu ya Zimbabwe

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post