JUVENTUS WAWEKA EURO 20MILION KUMNUNUA TEVEZ

image Juventus wamekuwa klabu ya kwanza kuonyesha ishara ya kwamba wapo tayari kulipa �20 million kwa ajili Carlos Tevez mwezi ujao.

Sources in Italy zinasema Raisi wa Juventus Andre Agnelli amezungumza na kocha wa Manchester city Roberto Mancini jana Ijumaa kuhusu Tevez.

Inasemekana kwamba City wapo tayari kumuachia Carlitos atleast kwa ada isiyopungua �20million , na Agnelli aliweka wazi kuwa anataka kumnunua Tevez kwa dili la permanently.

AC Milan walikuwa ndio timu ya kwanza kuzungumza na City kuhusu kumchukua Tevez lakini mkopo kitu ambacho City hawataki hata kusikia.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post