NIJUZE NIJUZE Author
Title: Tevez apewa adhabu ya kukatwa mshahara
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Mshambuliaji wa Manchester City Carlos Tevez amepewa adhabu ya kukatwa mshahara wa wiki nne, na onyo la maandishi baada ya kukutwa na hatia...

image

Mshambuliaji wa Manchester City Carlos Tevez amepewa adhabu ya kukatwa mshahara wa wiki nne, na onyo la maandishi baada ya kukutwa na hatia ya kukiuka mkataba wake.

Mchezaji huyo kutoka Argentina amepewa pia adhabu ya kutocheza soka kwa wiki mbili, lakini adhabu hiyo tayari amekwisha tumikia.

City imemkuta na hatia Tevez ya makosa matano, ikiwemo kugoma kupasha moto misuli katika mchezo wa Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich, Septemba 27.

Mchezaji huyo ana muda wa siku 14 iwapo anataka kukata rufaa.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top