Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akitoa rambirambi za Chama chake kwa wahanga wa ajali ya meli alipofika Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais kutoa rambimrambi jana.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, akipokea mchango wa fedha wa shilingi milioni tano kutoka kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, kwa ajili ya Waathirika wa ajali ya Meli iliyotokea usiku wa tarehe 9-9-2011 katika bahari ya Nungwi.
Tags
Maafa ya Meli Zenji