NIJUZE NIJUZE Author
Title: RABADABA TOKA UG KUFUNGA NDOA
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Artist Rabadaba toka Uganda,baada ya kuwa na msala kwa miezi kadhaa na Baby mama wake Sheila Ferguson na mdada huyo kufunguka kuwa amemsame...

image

Artist Rabadaba toka Uganda,baada ya kuwa na msala kwa miezi kadhaa na Baby mama wake Sheila Ferguson na mdada huyo kufunguka kuwa amemsamehe Rabdaba....za Chini ya Carpet zimefunuliwa kuwa kwa sasa huenda vikao vya harusi vikaanza...soonimage

Sheila alifunguka kwenye interview kuwa kwa kuwa wamesameheana, haina kwere kama wakifunga ndoa na kwa sasa malavidavi kama yamekolea hivi,coz Rabadaba amechora tatoo ya jina la Sheila kwenye mkono wake wa kulia na Sheila lake kapiga bonge la tatoo ya jina la ubatizo la Rabadaba,Faisal Sseguya

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top