Artist Rabadaba toka Uganda,baada ya kuwa na msala kwa miezi kadhaa na Baby mama wake Sheila Ferguson na mdada huyo kufunguka kuwa amemsamehe Rabdaba....za Chini ya Carpet zimefunuliwa kuwa kwa sasa huenda vikao vya harusi vikaanza...soon
Sheila alifunguka kwenye interview kuwa kwa kuwa wamesameheana, haina kwere kama wakifunga ndoa na kwa sasa malavidavi kama yamekolea hivi,coz Rabadaba amechora tatoo ya jina la Sheila kwenye mkono wake wa kulia na Sheila lake kapiga bonge la tatoo ya jina la ubatizo la Rabadaba,Faisal Sseguya
Tags
Afrika Mashariki