REDDS'S YAWAFUNDA WASIRIKI WA VODACOM MISS TANZANIA

Mshauri Suzan Mrema, akiwafunda warembo walioingia 
katika kinyang'anyiro cha Miss Tanzania 2011/2012. 
hoteli ya Girafe jijini Dar
Meneja wa Kinywaji cha Redd's, Vicktoria Kimaro (katikati) akizungumza na baadhi ya warembo watakaoshiriki mashindano ya Vodacom Miss Tanzania 2011, wakiwa katika Hoteli ya Giraffe, Dar es Salaam leo, baada ya kufundwa katika mkutano ulioandaliwa na uongozi wa kinywaji cha Redd's uliowapatia pia warembo hao zawadi mbalimbali.
Baadhi ya warembo watakaoshiriki mashindano ya Vodacom Miss Tanzania 2011, wakiwa katika Hoteli ya Giraffe, Dar es Salaam leo, baada ya kufundwa katika mkutano ulioandaliwa na uongozi wa kinywaji cha Redd's uliowapatia pia warembo hao zawadi mbalimbali.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post