NIJUZE NIJUZE Author
Title: REDDS'S YAWAFUNDA WASIRIKI WA VODACOM MISS TANZANIA
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Mshauri Suzan Mrema, akiwafunda warembo walioingia  katika kinyang'anyiro cha Miss Tanzania 2011/2012.  hoteli ya Girafe jijini Dar ...
Mshauri Suzan Mrema, akiwafunda warembo walioingia 
katika kinyang'anyiro cha Miss Tanzania 2011/2012. 
hoteli ya Girafe jijini Dar
Meneja wa Kinywaji cha Redd's, Vicktoria Kimaro (katikati) akizungumza na baadhi ya warembo watakaoshiriki mashindano ya Vodacom Miss Tanzania 2011, wakiwa katika Hoteli ya Giraffe, Dar es Salaam leo, baada ya kufundwa katika mkutano ulioandaliwa na uongozi wa kinywaji cha Redd's uliowapatia pia warembo hao zawadi mbalimbali.
Baadhi ya warembo watakaoshiriki mashindano ya Vodacom Miss Tanzania 2011, wakiwa katika Hoteli ya Giraffe, Dar es Salaam leo, baada ya kufundwa katika mkutano ulioandaliwa na uongozi wa kinywaji cha Redd's uliowapatia pia warembo hao zawadi mbalimbali.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top