
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Country Boy ameitambulisha rasmi ngoma yake mpya ya “mateso” aliyomshirikisha Linah. Country alisema beat imetengenezwa na Jimmy Jizze, vocal na mixing imefanyika katika studio ya Difatality chini ya Mesen Selector.
KAAMKAO WAKULA KWA ALBAMU