Hayo ndio matokea ya EPL siku ya jumatatu usiku, mchezo ambao ulichezwa katika kiwanja cha Oldtraford. ikishuhudiwa na washabiki wengi kiwanjani hapo Kama kawaida ya Man utd wamewatandika Tottenham kwa mabao matatu kwa nunge na kufanya kufikisha pointi 6.
Jumapili wata kichapa na Arsenal. wafungaji wakiwa ni Danny Wellbeck ndio mfungaji wa bao la kwanza huku Anderson akiweka goli la pili ndani ya kimia. Rooney alikata mzizi wa fitina baada ya kupachika Bao safi lakichwa na kufanya jumla ya magoli matatu.
Tags
Soka la Uingereza