MAGARI YA PUNGUA BARABARANI MJINI DAR ES SALAAM

image

Mtaa wa Azikiwe katikati ya Jiji la Dar es Salaam, ambao kawaida unakuwa na msongamano wa magari unaonekana ukiwa wazi baada ya magari kupungua mjini, kutokana na uhaba wa mafuta ya petroli na dezeli. Serikali leo imetoa karipio kali kwa baadhi ya wamiliki wa vituo vya mafuta waiogoma na wametakiwa wajieleze ni kwa nini wameamua kufanya hivyo lasivyo watachuliwa hatua za kisheria. Tamko hilo rasmi la Serikali limetolewa jioni hii bungeni na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngereja.

image

Eneo la mataa ya TAZARA nalo likiwa limepungua magari kwa kiasi kikubwa leo asubuhi

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post