NIJUZE NIJUZE Author
Title: MAGARI YA PUNGUA BARABARANI MJINI DAR ES SALAAM
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Mtaa wa Azikiwe katikati ya Jiji la Dar es Salaam, ambao kawaida unakuwa na msongamano wa magari unaonekana ukiwa wazi baada ya magari kupu...

image

Mtaa wa Azikiwe katikati ya Jiji la Dar es Salaam, ambao kawaida unakuwa na msongamano wa magari unaonekana ukiwa wazi baada ya magari kupungua mjini, kutokana na uhaba wa mafuta ya petroli na dezeli. Serikali leo imetoa karipio kali kwa baadhi ya wamiliki wa vituo vya mafuta waiogoma na wametakiwa wajieleze ni kwa nini wameamua kufanya hivyo lasivyo watachuliwa hatua za kisheria. Tamko hilo rasmi la Serikali limetolewa jioni hii bungeni na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngereja.

image

Eneo la mataa ya TAZARA nalo likiwa limepungua magari kwa kiasi kikubwa leo asubuhi

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top