NIJUZE NIJUZE Author
Title: MAFUTA TZ BADO KITENDAWILI
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Malori yakiwa yamepanga foleni tayari kuingia kujazwa mafuta katika matanki ya Kampuni ya Camel, eneo la Kurasini, Dar e...
image



















Malori yakiwa yamepanga foleni tayari kuingia kujazwa mafuta katika matanki ya Kampuni ya Camel, eneo la Kurasini, Dar es Salaam jana. Camel ni miongoni mwa kampuni za mafuta zilizoamriwa na Serikali kuacha mgomo na kuanza kuuza mafuta ama sivyo ingechuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo ya kufutiwa leseni.

image

 

 

 

 

 

 

 

 

Askari wakituliza vurugu za kugombea mafuta eneo la Vetinari, Temeke, Dar es salaam

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top