Title: MAFUTA TZ BADO KITENDAWILI
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5
Des:
Malori yakiwa yamepanga foleni tayari kuingia kujazwa mafuta katika matanki ya Kampuni ya Camel, eneo la Kurasini, Dar e...
Malori yakiwa yamepanga foleni tayari kuingia kujazwa mafuta katika matanki ya Kampuni ya Camel, eneo la Kurasini, Dar es Salaam jana. Camel ni miongoni mwa kampuni za mafuta zilizoamriwa na Serikali kuacha mgomo na kuanza kuuza mafuta ama sivyo ingechuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo ya kufutiwa leseni.
Askari wakituliza vurugu za kugombea mafuta eneo la Vetinari, Temeke, Dar es salaam
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.