NIJUZE NIJUZE Author
Title: HUDUMA NYINGINE YA KIPEKEE KUTOKA TIGO KWA WATEJA WAKE
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
KAMPUNi ya simu za mkononi ya Tigo Tanzania imeingia katika hatua nyingine za kuboresha huduma zake, kwaa kunzisha huduma mpya ya 'Tigo...

image

KAMPUNi ya simu za mkononi ya Tigo Tanzania imeingia katika hatua nyingine za kuboresha huduma zake, kwaa kunzisha huduma mpya ya 'Tigo Bima'  ambayo ni huduma ya bima ya ajali na ugonjwa kwa mteja na mwanafamilia mmoja, kwa wateja watakaokuwa wamejiunga kupitia fomu maalum. Pichani, Mratibu wa huduma hiyo kutoka kampuni ya Micro Ensure, Mussa Lubango (kulia) akitangaza huduma hiyo leo katika hoteli ya Peacock, Dar es Salaam, Kushoto ni  Meneja Bidhaa wa Tigo, Joel Bendera.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top