Title: HUDUMA NYINGINE YA KIPEKEE KUTOKA TIGO KWA WATEJA WAKE
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5
Des:
KAMPUNi ya simu za mkononi ya Tigo Tanzania imeingia katika hatua nyingine za kuboresha huduma zake, kwaa kunzisha huduma mpya ya 'Tigo...
KAMPUNi ya simu za mkononi ya Tigo Tanzania imeingia katika hatua nyingine za kuboresha huduma zake, kwaa kunzisha huduma mpya ya 'Tigo Bima' ambayo ni huduma ya bima ya ajali na ugonjwa kwa mteja na mwanafamilia mmoja, kwa wateja watakaokuwa wamejiunga kupitia fomu maalum. Pichani, Mratibu wa huduma hiyo kutoka kampuni ya Micro Ensure, Mussa Lubango (kulia) akitangaza huduma hiyo leo katika hoteli ya Peacock, Dar es Salaam, Kushoto ni Meneja Bidhaa wa Tigo, Joel Bendera.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.