HUDUMA NYINGINE YA KIPEKEE KUTOKA TIGO KWA WATEJA WAKE

image

KAMPUNi ya simu za mkononi ya Tigo Tanzania imeingia katika hatua nyingine za kuboresha huduma zake, kwaa kunzisha huduma mpya ya 'Tigo Bima'  ambayo ni huduma ya bima ya ajali na ugonjwa kwa mteja na mwanafamilia mmoja, kwa wateja watakaokuwa wamejiunga kupitia fomu maalum. Pichani, Mratibu wa huduma hiyo kutoka kampuni ya Micro Ensure, Mussa Lubango (kulia) akitangaza huduma hiyo leo katika hoteli ya Peacock, Dar es Salaam, Kushoto ni  Meneja Bidhaa wa Tigo, Joel Bendera.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post