Amy Winehouse amefariki

image

Mwimbaji maarufu mwanamke wa Uingereza, Amy Winehouse(27), amepatikana amekufa katika fleti yake mjini London

Amy Winehouse alishinda tuzo kadha kwa albamu yake ya pili, Back to Black, ambayo ilitolewa mwaka wa 2006.

Sababu ya kifo haijulikani bado.

Lakini mwimbaji huyo amekuwa akipambana na uraibu wa ulevi na mihadarati kwa muda.

Mara nyingi alitokeza kwenye tamasha huku amelewa

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post