MESSI NEYMAR USO KWA USO FAINALI COPA AMERICA

Timu ya Taifa ya Argentina imetinga fainali ya Copa America baada ya kuifunga na ushindi wa penati 3-2 dhidi ya Colombia baada ya kutoshana nguvu 1-1 katika dakika 90.

Argentina watakutana na Timu ya Taifa ya Brazil ambayo ilitinga fainali ya Copa America baada ya kuifunga Peru 1-0 kwenye hatua ya nusu fainali.

Neymar na Messi kwa pamoja wamehusika kwenye utoaji wa Assist ya magoli yaliyofungwa katika timu hizo. Nani kuchukua kombe hilo ni Neymar au Messi?


 



Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post