
Baada ya Agizo hilo kulitoa bungeni, kupitia akaunti yake ya Tweeter Mh Kigwangala aliweza ku tweet updated ya agizo hilo lakini mara hii akiongeza idadi ya watu wanaotakiwa kufika Kituo cha Police cha Kati jijini Dar es salaam kwa ajili ya mahojiano kabla hawajatafutwa.
Naagiza James Delicious, Kaoge Mvuto na Dani Mtoto wa Mama wafike wenyewe Central Police Dar es salaam kwa mahojiano kabla hawajatafutwa pic.twitter.com/hu4jssxBLU— Dr. Kigwangalla, H. (@HKigwangalla) February 6, 2017
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV
Tags
HABARI ZA KITAIFA