NIJUZE NIJUZE Author
Title: MTU MWINGINE AONGEZWA NA KUSOMEWA MASHITAKA, KESI INAYOIKABILI JAMII FORUMS
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Mwanahisa wa Jamii Media Co Ltd, Mickey William ameunganishwa katika kesi mbili zilizokuwa zinamkabili mkurugenzi mtendaji wa mtandao huo, ...
Mwanahisa wa Jamii Media Co Ltd, Mickey William ameunganishwa katika kesi mbili zilizokuwa zinamkabili mkurugenzi mtendaji wa mtandao huo, Maxence Melo za kuzuia uchunguzi wa jeshi la polisi.Jamii Forums
Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka hayo leo hii mbele ya Hakimu mkazi Mkuu, Thomas Simba na Godfrey Mwambapa.Uchunguzi umekamilika na washtakiwa watasomewa maelezo ya awali Februari 9 na 20, 2017 huku washtakiwa wote wapo nje kwa dhamana.

Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, kampuni inayomiliki mtandao maarufu, Jamii Forums, Maxence Melo ameshtakiwa kwa Makosa 2 likiwemo la kuendesha na kumiliki tovuti ambayo haijasajiliwa hapa nchini kinyume cha sheria.

BY: Emmy Mwaipopo
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top