Unknown Unknown Author
Title: ILE SHOW YA KUKATA NA SHOKA YA "DIAMOND ARE FOREVER" IS BACK 2017
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Meneja wa Diamond Platnumz , Sallam SK aka "Fundi Mitambo"  ametangaza ujio mpya wa tamasha kubwa la Diamonds Are Forever 2017 ...
Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam SK aka "Fundi Mitambo" ametangaza ujio mpya wa tamasha kubwa la Diamonds Are Forever 2017 ambapo safari hii litafanyikia katika Uwanja wa Taifa.
Sallam SK and Diamond Platnumz,
Muimbaji huyo alifanya tamasha hilo kwa mara ya kwanza nchini mwaka 2012 katika ukumbi wa Mlimani City show ambayo ilihudhuriwa na watu wengi kwa kiingilio cha Tsh 50,000 na 100,000 kwa VIP.

Sallam akizungumza live na mashabiki katika mtandao wa Instagram (Insta Live) alisema show hiyo ipo kwenye maandalizi na itafanyika uwanja wa Taifa.

“Mjiandae na Diamonds Are Forever 2017, Diamonds Are Forever 2017 is back,” Sallam aliwaambia mashabiki.

Meneja huyo alidai safari hii tamasha hilo litafanyika uwanja wa taifa ili kuwapa fursa watu wengi zaidi ya kuhudhuria.

Hata hivyo hakuweka wazi ni lini au mwezi gani tamasha hilo litafanyika.


++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++

KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top