Unknown Unknown Author
Title: DARASSA ATANGAZA MIUJIZA ZAIDI MWAKA 2017
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mwaka 2016 ni mwaka wa historia kwa Darassa rapa ambaye amejipatia umaarufu zaidi na kufanya show nyingi huku akishuhudia mambo makubwa za...
Mwaka 2016 ni mwaka wa historia kwa Darassa rapa ambaye amejipatia umaarufu zaidi na kufanya show nyingi huku akishuhudia mambo makubwa zaidi katika muziki wake toka alipoanza kufanya muziki.
Darassa
Darassa mwenyewe anakiri wazi kuwa mwaka 2016 kwake ulikuwa mwaka wa miujiza kwa jinsi ambavyo ameweza kuja na kubadili upepo wa muziki wa Tanzania na kuingia katika akili za watanzania walio wengi kutokana na kazi yake ya 'Muziki' ambayo imefanya mengi makubwa ndani ya muda mfupi sana.

Katika ukurasa wake wa Instagram rapa Darassa aliandika ujumbe ambao unasomeka "2017 miujiza inaendelea" huku baadhi ya mashabiki wake wakitafsiri kuwa rapa huyo ataendelea kufanya vyema na kufanya kazi ambazo huenda zikawashangaza tena kama ilivyokuwa kwa ngoma yake ya "Muziki".

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top