WAKAZI WA MJI WA LINDI WAFANYA USAFI KUITIA WITO WA RAIS MWISHO WA MWAKA 2016

Usafi day Lindi
Wakazi wa mji wa Lindi wakifanya usafi wa mazingira katika mitaa na barabara zinazozunguka Hospitali ya mkoa huo Desemba 31, 2016. 
Usafi day Lindi
Walifanya hivyo kuitikia agizo la Rais John Pombe Mgufuli la kuwataka watanzania kutumia muda wa asubuhi kila Jumamosi kufanya usafi wa mazingira. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post