RAYMOND AFUNGUKA JUU YA ALIKIBA, CHEKI VIDEO HII HAPA

Hakuna asiyejua kama kuna bifu ambalo sio la pole pole kati ya C.E.O wa WCB Wasafi Diamond Platnumz na mtu mzima Alikiba. Bifu ambalo limekaa kibiashara zaidi na hata ushindani katika game ya Muziki.
Raymond na Alikiba
Waliwahi kusikika Baraka Da Prince ambaye anaonekana kuwa yupo karibu sana na msanii Alikiba, na hata Abdu Kiba ambaye ni mdogo wa damu wa msanii Alikiba na wakadai kuwa wao hawapo tayari kabisa kufanya collabo na wasanii wa WCB kutokana na kudai aina ya muziki ambao wanafanya ni tofauti na muziki wao.

Sasa Lindiyetu.com imemkamata mkali kutoka WCB Wasafi hitmaker wa ngoma ya Natafuta Kiki Raymond (@rayvanny) na kupiga nae story imekaa vipi kwa yeye kufanya kazi na msanii ALikiba.

BOFYA VIDEO HAPO CHINI KUSIKIA ALICHOKIONGEA

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post