Unknown Unknown Author
Title: SHILOLE AITOLEA POVU KAMATI YA MISS TANZANIA, NI KUHUSU SHINDANO HILO (+VIDEO)
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mengi yakiwa bado yanazungumzwa kuhusu ishu ya Miss Tanzania 2016, Shilole a.k.a Shishi baybeee  nae amekuja na povu lake juu ya Kamati ya...
Mengi yakiwa bado yanazungumzwa kuhusu ishu ya Miss Tanzania 2016, Shilole a.k.a Shishi baybeee nae amekuja na povu lake juu ya Kamati ya Miss Tanzania.
Shilole a.k.a Shishi baybeee
Ebhana Bad Girl Shishi, Shilole ni moja kati ya wasanii wakike ambao taarifa za kidaku huwa hazichezi mbali na yeye, yaani automatic tu anajikuta yupo katika stori za kidaku ila leo Shishi Baby aliamua kuifungukia Lindiyetu.com Povu lake kuhusu kamati ya Miss Tanzania.

Shilole amesema kwamba Povu lake yeye linamuuma sio kwamba anajitetea yeye kama yeye ila ametoa povu hilo kutetea industry nzima ya muziki wa Tanzania hii imetokea ni baada ya kusapoti sana miziki ya nje kuliko hii ya kwetu.

Sikiliza hapa zaidi Povu la Shilole kuhusu kamati ya Miss Tanzania.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top