Unknown Unknown Author
Title: BARAKA DA PRINCE KUIKACHA TZ SASA AJIPANGA KUHAMIA SOUTH AFRIKA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Baada ya kufanya vizuri na ngoma yake ya “Nisamehe” aliyomshrikisha Ali Kiba, Baraka da Prince anakwambia sasa anampango wa kuhamia kwa M...
Baada ya kufanya vizuri na ngoma yake ya “Nisamehe” aliyomshrikisha Ali Kiba, Baraka da Prince anakwambia sasa anampango wa kuhamia kwa Madiba.
Baraka da Prince
Akiongea na Lindiyetu.com, Baraka amefunguka na kusema kwamba kwa sasa yeye anamipango yake na anafamilia yake, yaani akimaanisha kwamba na baby wake Najma, lengo kubwa la kwenda Afrika ya kusini ni kufanya shughuli za kimuziki pamoja na kufanya Biashara kwasababu kuna Fursa ameziona.

Msikilize hapa Baraka Da prince.


**********

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top