IJUE RATIBA YA MECHI ZA VODACOM PREMIER LEAGUE JUMAMOSI HII

Ligi ya Vodacom itaendelea wikiendi hii kwa kuzikutanisha Timu Sita katika Viwanja Tofauti Tofauti.
Simba Sc wakiwa wanaongoza ligi hiyo watakuwa wenyeji wa Kagera Sugar katika Uwanja wa Uhuru jijini dar es Salaam huku Mtibwa Sugar baada ya kupokea Kichapo kutoka kwa Yanga Jumatano hii atawakaribisha Tanzania Prison pale katika uwanja wa Manungu. Na Toto Africa atakuwa mwenyeji wa Maji maji Fc ya Songea kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Ratiba ya VPL
Mecho zote Zitarushwa na kituo cha Televisheni cha AZAM

MSIMAMO WA LIGI ULIVYO HIVI SASA.
Msimamo wa Ligi
************

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post