HII NI ZAIDI YA SHIDA, HEBU CHEKI MAUNO YA USIKU WA VIGOMA HUKO JIJINI TANGA, WEKA MBALI NA WATOTO.

Usiku wa Vigoma
Septemba 10, 2016 wapenzi na mashabiki wa muziki wa vigoma/singeri mkoani Tanga walikutana katika viwanja vya Mkwakwani ambapo miongoni waliomsupport katika usiku huo wa vigoma ni Staa wa Filamu za Tanzania, Wema Sepetu pamoja na Team Wemasepetu.

Itazame hii video hapa ujione jinsi Team Wema walivyoyakata Mauno katika Usiku huo wa Vigoma.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post