Unknown Unknown Author
Title: P-SQUARE WAINGIA STUDIO NA KUANZA KUREKODI MZIKI KAMA KUNDI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kundi la P-Square linaloundwa na wasanii mapacha Peter na Paul Okoye limeripotiwa kuanza kurekodi nyimbo pamoja tena baada ya kutoelewan...
Kundi la P-Square linaloundwa na wasanii mapacha Peter na Paul Okoye limeripotiwa kuanza kurekodi nyimbo pamoja tena baada ya kutoelewana kwa miezi kadha.
Studio
July 2016 Peter Okoye alisema kupitia Instagram kuwa mambo yako shwari kwa P-Square na kwamba kaka yao Jude Okoye amebaki kuwa meneja wao.

Ujumbe mpya kuhusu UPDATES za P Square kwenye Instagram ya Peter ulisema…
"Something new Cooking in da kitchen and about to come out! From us! You already know it’s P2 baby!!! #KoolestDudes"
P Square and Diamond 
Kwa sasa P Square wanang’ara na wimbo waliofanya na Diamond kutoka Tanzania ‘Kidogo’.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top