Msanii mkongwe wa muziki nchini Uganda, Jose Chameleone amekanusha uvumi ulioenea kuwa yeye ana bifu na msanii wa bongo fleva, Diamond Platnumz.
Akihojiwa na William Tuva wa kipindi cha Mseto, nchini Kenya Chameleone amedai kuwa media zinajaribu kuchochea bifu yake na Diamond lakini yeye hana sababu yoyote ya kuwa na ugomvi na nyota huyo wa Tanzania.
Akihojiwa na William Tuva wa kipindi cha Mseto, nchini Kenya Chameleone amedai kuwa media zinajaribu kuchochea bifu yake na Diamond lakini yeye hana sababu yoyote ya kuwa na ugomvi na nyota huyo wa Tanzania.
“Unajua watu wamejitahidi sana kuweka line za bifu kati yangu na Diamond..unajua nilikuwa kwenye Tv Show moja Kampala nikaulizwa maswali fulani kuhusu Diamond lakini media wenyewe wakabadilisha hayo maneno yawe maneno ya kumtukana Diamond.It is very ashaming,kwa sababu mimi katika tour yangu ya USA niliongea na Diamond pamoja na Babu Tale,i respect him as an artist.i have reason to say bad things about him”
Alifunguka Chameleone ambaye kwa sasa yuko nchini Kenya kwa ajili ya kushiriki Coke studio.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.