DIAMOND PLATNUMZ KAFANYA KITU HICHI LEO HII AGOSTI 10, 2016

Diamond Platnumz
Diamond Platnumz ametoa mchango wake kwenye mfuko unaosaidia watoto wenye matatizo tofauti kupata matibabu wa GSM Foundation. Mfuko huu pia unasaida maswala ya Elimu Tanzania. Kupitia Instagram yake aliweka wazi kuwa ametoa milioni 20 za Kitanzania kwa mfuko huo.
Diamond Platnumz
Hivi karibuni GSM Foundation imewezesha watoto wenye vichwa vikubwa kupata matibabu.

Huu ujumbe wa Diamond Platnumz:
“Moyo wangu unaniambia nisingeshikwa mkono ama kusaidiwa na watu basi nami nisingeweza leo hii kufikia hatua hii ndogo niliofikia… na ndiomaana #kidogo nikipatacho huwa napenda kusaidia wenzangu….. Leo Mapema nilitembelea ofisi za@GSMfoundationtz kuwasilisha kidogo tulichobarikiwa kwa niaba ya@wcb_wasafi kwajili ya kusaidia watoto wenye matatizo ya Vichwa vikubwa (Bobble Head Syndrome) na Mgongo wazi????"
GSM Foundation

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post