PAUL MAKONDA AISHUSHUA KAMPUNI HII KUPITIA UKURASA WAKE WA INSTAGRAM

Paul Makonda
Ni July 13, 2016 ambapo Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram alilazimika kuandika sentensi kadhaa kuhusu maeneo yasiyo safi na salama.

"Unapofanya biashara katika maeneo machafu kama haya unataka tukutambue kama balozi wa kipindupindu na chanzo cha vifo vya ndg zetu au umejitoa ufahamu kwakujifanya mstarabu wakati siyo"- Paul Makonda

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post