HATIMAE ZITTO KABWE AFUNGA NDOA NA MCHUMBA WAKE HUYU HAPA, TAZAMA PICHA

Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Zuberi Kabwe amefunga ndoa Alhamisi hii na mchumba wake aliyemvisha pete miezi michache iliyopita.
Zitto harusi
Zitto akimvisha pete mchumba wake

Mwanasiasa huyo ambaye pia ni kiongozi mkuu wa chama cha ATC Wazalendo, ndoa yake imefanyikia Zanzibar na kuhudhuriwa na watu wachache wakiwemo ndugu zake pamoja na rafiki wa karibu.
Zitto harusi

Zitto harusi

Zitto harusi

Zitto harusi
Kupitia instagram, Zitto amepost picha ya ndoa na kuandika: A to Z.
(Picha kwa hisani ya Mwananchi Communication Ltd)

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post