NIJUZE NIJUZE Author
Title: HATIMAE ZITTO KABWE AFUNGA NDOA NA MCHUMBA WAKE HUYU HAPA, TAZAMA PICHA
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Zuberi Kabwe amefunga ndoa Alhamisi hii na mchumba wake aliyemvisha pete miezi michache iliyopita. Zitto...
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Zuberi Kabwe amefunga ndoa Alhamisi hii na mchumba wake aliyemvisha pete miezi michache iliyopita.
Zitto harusi
Zitto akimvisha pete mchumba wake

Mwanasiasa huyo ambaye pia ni kiongozi mkuu wa chama cha ATC Wazalendo, ndoa yake imefanyikia Zanzibar na kuhudhuriwa na watu wachache wakiwemo ndugu zake pamoja na rafiki wa karibu.
Zitto harusi

Zitto harusi

Zitto harusi

Zitto harusi
Kupitia instagram, Zitto amepost picha ya ndoa na kuandika: A to Z.
(Picha kwa hisani ya Mwananchi Communication Ltd)

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top