RICH MAVOKO AITABIRIA MAKUBWA WCB BARANI AFRIKA.(+VIDEO)

Rich Mavoko amesema lebo ya WCB itakuja kuwa kubwa sana Afrika.
WCB
Amesema anatamani angekuwa ameruhusiwa kusema mambo makubwa wanayoyapika ndani ya himaya yao. “Kiukweli kama ningeruhusiwa kutoa siri za kampuni, ningesema nani ana video ngapi lakini mi naomba watanzania waoneshe ushirikiano mkubwa kwa vijana wao,” anasema Rich.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post