HUU HAPA MUONEKANO MPYA WA CHID BENZ BAADA YA KUTOKA SOBER HOUSE

Chid Benz
Msanii wa Bongofleva Chid Benz usiku wa June 15 2016 alipost picha za muonekano wake mpya kupitia akaunti yake ya Instagram ikiwa ni siku chache baada ya kutoka Sober house Bagamoyo, alipokuwa amekaa kwa siku kadhaa kama njia ya kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya.
Chid Benz
Unaweza kumfollow kupitia linki hii hapa @Officialchidibeenz ...
Chid Benz

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post