![Rayvanny Rayvanny](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgRKoYveCsrxk0Vjz0Fy8EVsJjMpC6MTmH_bib1WXup2Uu5DBWJPM9neSDRBlItXEk36fIJjEhAXkBPZ0JLsgktLfTLB7twaIsjIEYudjJPyD7msh9WLzeppmok7Y8QuCGW65YLt9IVRYUJ/s1600/RAYVANNY+%25282%2529.jpg)
![Rayvanny and Diamond Rayvanny and Diamond](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjg8RmYtMJNIfERmzIKS0AIr64hD6z8BsLGjAyOUrVL8zklPhq9CO-2hAzTcoH0EhmIynINrJskvYcPHd8Bjuon3hjl80NlTFyQJaKUxfycuX4tMO6rYPZ7sV3B8ZYfyUsE8XnUc9a-QKkO/s640/13392785_633239586829076_415391879_n.jpg)
Msanii Barnaba kutoka THT ni mwandishi mzuri wa mistari, tofauti na uimbaji wa muziki yeye anaandika ingawa ni maarufu zaidi kupitia sanaa ya uimbaji, tayari ameshawaandikia wasanii wengi kama Shilole, Linah, Amini na wengine wengi, pamoja na kuwaandikia wasanii tofauti Barnaba ameweza kuwa na mafanikio kutokana na sanaa yake.
![Shetta Shetta](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8zHuA3wV1YyXhudclUjgPMJ8-w5AcMt5IsACf39wLeHGtN2gJvcENu4XgPTPuJUi1DhiSGDj-iibQJZA3iiKDsPou_mAo99ta7_DYcyMhjznpMliXAWvCsr6QncOGXEBvN_yQWRCuWNwn/s640/SHETTA.jpg)
Chipukizi anayekuja kwa kasi katika uimbaji kutokana na sauti yake na upangiliaji wa mistari Rayvanny almaarufu kama Raymond wa WCB, ambaye yupo chini ya Lebo hiyo inayomilikiwa na Super Star wa Bongo Fleva Diamond Platnumz amegeuka lulu kutokana na vipaji lukuki alivyojaaliwa, tofauti na uimbaji Ray yupo vizuri kwenye uandishi wa mistari.
![Ambwene Yessaya Ambwene Yessaya](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjR90aWYcvVVyYYvL10cftOycrhByH6NfuWSoyyGDRmdRuXfMtORZ1qJTVCFYMZd9OwVRXGhA_3kRAfDyhkGHzend2n4xaHIAjOZp8Qpm0MWhtw0-BUs5W_VOWQxTk2BRuRXSrkLIAI4432/s640/AY.jpg)
Bila kupepesa macho msanii huyu siku za hivi karibuni ataendelea kuwa mgodi unaotembea kutokana na ubunifu anaoendelea kuuonesha katika sanaa ya muziki, mbali na Raymond kutoa ngoma zake binafsi kali zilizobamba unafahamu ni ngoma zipi za malejendari zilizohit kupitia mkono wa Raymond?
Huyu hapa Raymond mwenyewe anafunguka katika sauti hapo chini.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.