Agizo hilo limetolewa leo bungeni na Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Umwagiliaji William Ole Nasha wakati akijibu swali kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Ole Nasha amesema kumpigia saluti mbunge ni jambo la lazima kwa askari kwa kuwa lipo kwenye moja ya masharti yao, hivyo kutokufanya hivyo ni kushindwa kutii kiapo cha uaminifu wao.
Ole Nasha alikuwa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Viti Maalum Fakharia Shomar Khamis (CCM) ambaye alitaka kujua ni adhabu kiasi gani atapewa askari ikiwa atashindwa kutoa saluti kwa mbunge.
TAZAMA VIDEO HAPA:
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.