
Msanii huyo ameeleza hayo kupitia akaunti yake ya Instagram kwa kupost Video mbayo inamuonesha Nay akisema maneno hayo, nakuwataja Shilole, Nisha na Wolper. Lakini Mwisho wa Siku akamalizia kwa kusema kuwa ni Utani tu.
Hebu Mtazame hapa:
Tags
HABARI ZA WASANII