BREAK NEWS:: CLOUDS FM YAWARUDISHA WATANGAZAJI PHINA MANGO NA MASOUD KIPANYA KAZINI

masoud and Fina Mango
Jana kulikuwa na sinto fahamu baada ya tetesi kusemekana kuwa watangazaji maarufu wa kipindi cha Power Breakfirst cha Clouds FM Gerald Hando na PJ Wamefukuzwa kazi.
Masoud Kipanya
Leo tetesi hizo zimezidi kushika mizizi baada ya watangazaji wa zamani wa kipindi hicho Phina Mango na Masoud Kipanya walioacha kazi miaka kadhaa nyuma Kushika nafasi zao...
Fina Mango
Muda huu wako On Air wanatangaza Sambamba na Babra na Fredwaa
Previous Post Next Post